Quantcast
Channel: TANZANIA CLASSIC
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5823

Mtoto wa Beckham afuata nyayo za baba yake

$
0
0
Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania ,kijana kuanzia miaka 18 ana uwezo wa kufanya maamuzi yake pasipo kuvunja sheria, hivyo basi kijana wa mwanasoka maarufu wa Uingereza David Beckham na mwanamitindo Victoria Beckham, Brooklyn Beckham ameanza kuonyesha kukuwa kwa kuchora tattoo katika mwili wake.


Brooklyn Beckham mwenye umri wa miaka 18 amechora tattoo mbili mpaka sasa katika mwili wake moja ikiwa katika bega lake ikiandikwa ‘MUM’ na nyingine ni kushoto ikionyesha mwaka aliyozaliwa baba yake ‘1975’.



Paparazi waliweza kuiona tattoo hiyo vyema na kuipiga picha alipokuwa akienda kupata chakula cha mchana maenoe ya Los Angles nchini Marekani.


TANGAZO,TANGAZO MUHIMU


KUkosefu  wa Nguvu  za kiume   na  magonjwa  mengine  sugu,, 

0767488895 0768351097  haraka 

FIKA KWENYE KITUO CHAO  CHA TABIBU MABULA HERBAL CLINIC NJOMBE MJINI MTAA WA MPECHI
KWA WALIOPO NJE NA MKOA WA NJOMBE HUDUMA YA DAWA ITAWAFIKA  POPOTE MLIPO

No automatic alt text available.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 5823

Trending Articles


Vimeo 10.7.1 by Vimeo.com, Inc.


UPDATE SC IDOL: TWO BECOME ONE


KASAMBAHAY BILL IN THE HOUSE


Girasoles para colorear


Presence Quotes – Positive Quotes


EASY COME, EASY GO


Love with Heart Breaking Quotes


Re:Mutton Pies (lleechef)


Ka longiing longsem kaba skhem bad kaba khlain ka pynlong kein ia ka...


Vimeo 10.7.0 by Vimeo.com, Inc.


FORECLOSURE OF REAL ESTATE MORTGAGE


FORTUITOUS EVENT


Pokemon para colorear


Sapos para colorear


Smile Quotes


Letting Go Quotes


Love Song lyrics that marks your Heart


RE: Mutton Pies (frankie241)


Hato lada ym dei namar ka jingpyrshah jong U JJM Nichols Roy (Bah Joy) ngin...


Long Distance Relationship Tagalog Love Quotes