Quantcast
Channel: TANZANIA CLASSIC
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5823

Nchi ya Congo Imefungia Mitandao yote ya Kijamii

$
0
0


Serikali ya DR Congo imetoa amri ya kusitishwa kwa mitandao yote ya kijamii ili kuzuia usambazaji wa picha na video za ghasia zinzoendelea katika kanda hiyo .

Aidha hatua hiyo imechukuliwa kufuatia ongezeko la upinzani dhidi ya rais Joseph Kabila ambaye amekataa kujiondoa madarakani wakati awamu yake inamalizika mwezi Desemba .

Migomo ya kitaifa imepangwa kufanyika Jumanne na Jumatano .

Mapigano ya Jumatatu baina ya kundi la Bundu dia Kongo na vikosi vyaa usalama ,lilipelekea vifo vya watu 14 kutokea .

Mkuu wa idara ya mawasiliano nchini humo Oscar Manikunda Musata amefahamisha kwamba mitandao ya kijamii kama Twitter,Whatsap ,Facebook na Instagram itafungwa kwa muda .

Viewing all articles
Browse latest Browse all 5823