Quantcast
Channel: TANZANIA CLASSIC
Browsing all 5823 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bawacha Watoa Msaada kwa Watoto Yatima

Baraza la Wanawake Chadema mkoa wa Dar es Salaam (Bawacha), wametoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha  kulelea watoto yatima, Yatima Group Trust Fund.Msaada huo wa mifuko 35 ya saruji, sukari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Conte awaomba mashabiki wasimtukane akimuuza Eden Hazard kwa Barcelona

Kocha wa Chelsea, Antonio Conte amewaomba mashabiki wa klabu hiyo wasimtukane iwapo ataamuuza Eden Hazard kwa klabu ya Barcelona msimu huu wa usajili wa kiangazi.Kocha huyo alisema kuna uwezekano mdogo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ##: Raila Odinga afanya matembezi katika mtaa wa Karen

Tazama  hii video  Raila  Odinga akuiongea  na waandishi wa habari

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Arsenal wawaangamiza Chelsea

Klabu ya Arsenal imefanikiwa kuchukua Kombe la ngao ya jamii 2017 kwa kuitwanga Chelsea goli 4-1 kwa changamoto ya mikwaju ya penati baada ya kutoka 1-1 dakika 90 katika uwanja wa  taifa wa Uingereza,...

View Article

Video## NASA MEDIA BRIEFING ON ELECTION

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANJI Mambo Magumu...Kuendelea Kusota Selo..

MANJI Mambo Magumu...Kuendelea Kusota Selo... Mahakama Kuu Tanzania imekubali pingamizi lililowekwa na serikali na hivyo kutupilia mbali maombi ya dhamana ya mfanyabiashara Yusuf Manji.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilichojiri Mahakamani Kesi ya Viongozi wa Simba Leo Agosti 7

Leo August 7, 2017 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kwa mara nyingine kesi ya kutakatisha fedha na kughushi inayowakabili Rais wa Simba SC, Evans Aveva na Makamu wake, Geofrey Nyange maarufu...

View Article

Video ## Raila Odinga :Press conference on meeting with EU observers.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi ya Mbunge Halima Mdee yapigwa Kalenda

  Kesi namba 218 ya 2017 ya kutumia lugha ya matusi, inayomkabili Mbunge wa kawe Halima Mdee imeahirishwa mpaka tarehe 12/09/2017 baada ya Hakimu Victoria Nongwa ambaye kesi hiyo iko chini yake...

View Article


Video## !! CHADEMA wafunguka azimio jingine la kamati kuu

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu kutoka Ngome ya RAILA ODINGA walala vituoni ili kuwahi kupiga kura

Hapa  ni  maeneo ya  Nyanza na Western ambapo  ni ngome  kubwa  ya  kiongozi  wa  upinzannia  Raila  odinga ,Tayari  watu  wamejitokeza  kwa  wingi  kupiga   kura    ,Taarifa  zinasema  wengine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama Yatoa ONYO la Mwisho Kwa Tundu Lissu..

Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu imempa onyo la mwisho Tundu Lissu kuhakikisha anafika katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mahakamani hapo.Onyo hilo limetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Godfrey Mwambapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afrika Kusini: Spika aidhinisha kura ya siri kuhusu Jacob Zuma

Wabunge nchini Afrika Kusini watapiga kura ya siri wakati wa kuamua kuhusu hoja ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma siku ya Jumanne, spika wa bunge la nchi hiyo ametangaza.Baleka Mbete ametoa...

View Article


Video## Raila Odinga expected to vote at Kibra Primary School

View Article

Video## Uhuru Kenyatta set to cast his vote in Mutomo Primary in Gatundu

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

#Wapinzani kutoka Tanzania wana mengi ya kijifunza kutoka Raila Odinga Badala...

Na  Respicius Francis#Wapinzani kutoka Tanzania wana mambo mengi ya kijifunza kutoka Raila Odinga Badala ya kutazama madhaifu yake,Nasema hivi kwasababu upinzani wa #Tanzania bado una safari ndefu...

View Article

Video## Uhuru apiga kura Gatundu

View Article


Video# Raila Odinga and Ida Odinga express their readiness for the polls

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nchi ya Congo Imefungia Mitandao yote ya Kijamii

Serikali ya DR Congo imetoa amri ya kusitishwa kwa mitandao yote ya kijamii ili kuzuia usambazaji wa picha na video za ghasia zinzoendelea katika kanda hiyo .Aidha hatua hiyo imechukuliwa kufuatia...

View Article

Video ## Mfuasi kutoka chama cha jubilee akamatwa na karatasi za kupigia kura

Msaanii maarufu    wa vichekesho  Dennis  Ruto  amekamatwa  na karatasi za  kupigia  kura ..Ukumbukwe  msaanii  huyo  ni  mfuasi  mkubwa  wa chama  cha  jubilee..Popular comedian (Cheget) from comedic...

View Article
Browsing all 5823 articles
Browse latest View live