Quantcast
Channel: TANZANIA CLASSIC
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5823

Fahamu mambo sita kutoka kisiwa cha Guam, Marekani

$
0
0
  1.  Kisiwa cha Guam ni kisiwa kukubwa kilichopo katika bahari ya Pacific nchini Marekani
  2. Licha kumilikiwa na Marekani, kisiwa hicho kipo umbali wa maili 8,000 na inachukua takriban saa 19 kukifikia kisiwa hicho kwa usafiri wa ndege kutoka mji wa New York. Wamarekani wanaweza kuingia katika kisiwa hicho bila kutumia pasipoti.
2. Raia wa eneo hilo ni wa Marekani lakini hawawezi kupiga kura ya kumchagua Rais wa Marekani, piia wana mwakilishi mmoja wa serikali ingawa hana uwezo wowote kuhusu utungaji wa sera.
3. Robo ya kisiwa hicho kinamilikiwa na jeshi la Marekani na kinatumiwa kama kambi ya wanamaji na wanaanga,vile vile silimia 10 ya watu wa Guam ni wanajeshi.
4. Raia wa Guam wanajulikana kama Chamorro, utamaduni wao unafanana na ule wa Uhispania zaidi ya Umarekani kwa sababu Uhispania ilidhibiti kisiwa hicho kwa takriban miaka 300.
5. Watu katika eneo hilo hawatozwi kodi pia maduka huuza bidhaa za mitindo na hufunguliwa kwa muda wa saa 24 kwa siku.
6. Ricardo Blas Jr. ndio mtu maarufu zaidi katika kisiwa cha Guam, mtu huyu hucheza mchezo wa judo katika michezo ya Olimpiki ya 2008 na 2012 na alibeba bendera ya Guam katika mashindano.
Na Laila Sued

TANGAZO,  #TANGAZO #TANGAZO

  KUTOKA MTANDAO HUU

Image may contain: 1 person, smiling, text

Mtandao  wa kijamii  wa   www.tanzaniaclassic.com   {THE  GIANT SOCIAL MEDIA IN EAST AFRIKA}  unakuletea  shindano  la ADVERTISING  BUSINESS COMPETITION .

ADVERTISING   BUSINESS  COMPETITION –Ni  shindano   ambalo  linatoa  fursa  kwa wafanyabiashara au  wajasiriamali kutengeneza Tangazo  nzuri la  biashara  zao  lenye  ubunifu,  Matangazo hayo yatawekwa  kwenye  mtandao  wa  www.tanzaniaclassic.com  ili  kusaidia wafanyabiashara na wajasiriamali kutangaza  biashara  zao  kwa   gharama  nafuu  sana,  Pia  matangazo hayo yatashindanishwa  kutafuta tangazo  bora  lenye  ubunifu  ambapo  mshindi  wa  kwanza  atazawadiwa  shilingi  500,000  na  nafasi ya  kutangaza biashara  yake  bure kwenye  mtandao  wa www.tanzaniaclassic.com  kwa  miezi sita.

Pia  mtandao wa www.tanzaniaclassic.com  utatoa  ofa  kwa  mshindi   ya  kumsaidia  kubrand biashara yake ili  iweze  kujulikana Zaidi  na kupata  soko ndani ya Afrika  mashariki.

Mshidi  atapata fursa  ya  kukutanishwa  na wajasiriamali na wafanyabiashara waliofanikiwa  zaidi   ili  aweze  kupata uzoefu zaidi  ...       

Mshiriki  wa  ADVERTISING  BUSINESS  COMPETITON  ambaye   ni  mfanyabiashara au  mjasiramali  anatakiwa  kutengeneza    tangazo  lenye  mvuto  na ubunifu  juu  ya biashara  anayofanya   ili  ajiweke  kwenye  nafasi  nzuri  ya  kushinda..

 Mshindi  wa  ADVERTISING   BUSINESS  COMPETITION  Atachaguliwa  na  majaji  wa www.tanzaniaclassic.com  baada  ya  kupitia  matangazo  yote  ambayo  yatakuwa  yameingia  kwenye shindano  hili, Vigezo vikuu mpaka  mshindi apatikane  itakuwa  ubunifu  wa tangazo  husika, Ubunifu wa  lugha  katika  tangazo husika , mwenekano  mzuri  wa tangazo  nk.

Shindano  la ADVERTISING  BUSINESS  COMPETITION  ni shindano  ambalo  linahusisha  hasa wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka   Tanzania  na Kenya ambapo   mtandao wa www.Tanzaniaclassic.com  una watembeleaji wengi zaidi,Pia wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka  nchi zingine  za  ukanda Afrika  mashariki ambao watependa kushiriki shindano hili wataruhusiwa kushriki..

MASHARTI NA  VIGEZO VYA  KUSHIRIKI  ADVERTISING  BUSINESS COMPETITION

1.Mshiriki anatakiwa awe  na  umri wa miaka  18 na  kuendelea,,

 2.Mshiriki wa  ADVERTISING  BUSINESS COMPETITION anatakiwa  analipie  tangazo  lake  kwanza kwa  shilingi  elfu  50,00 0 ndiyo  litapata  fursa  kurushwa  kwenye  www.tanzaniaclassic.com  pamoja  kuingia  kwenye   shindano la  ADVERTISING BUSINESS  COMPETITION 

2.Mshiriki  anatakiwa  atoe  tangazo  la  biashara  inayofanyika  tayari  na  inaendelea  kufanyika  wakati      

4.Mshiriki wa  ADVERTISING S COMPETITION  harusiwi  kukopi  tangazo  la  mshiriki mwingine  ambayo  yatakuwa  yanarushwa  na  www.tanzaniaclassic.com  wakati  shindano  likiendelea .

5.Wafanyakazi  na ndugu  ambao wanaohusiano  na  mtandao  wa www.tanzaniaclassic.com  hawataruhusiwa  kushiriki  shindano hili..

6.Mshiriki  anaruhusiwa  kuingiza  matangazo     yasiyozidi  3  kwenye  shindano  lakini  lazima  hayo  matangazo  yawe  ni ya biashara  tofauti  ambazo  zinafanyika  na zinaendelea wakati huo.  

        FAIDA  ZA  KUSHIRIKI  ADVERTISING  BUSINESS  COMPETITION 

1.Shindano  la  ADVERTISING BUSINESS COMPETITION  linatoa   fursa  wafanyabiashara  na wajasiriamali  kutangaza  biashara zao kwa kipindi cha  miezi  2  na nusu    wakati  wa shindano likiendelea.     

2.Shindano la  ADVERTISING  BUSINESS  COMPITETION   litasaidia  sana wafanyabiashara  na wajasiriamali  biashara  zao  kujulikana pamoja na biashara zao  kupata  soko  kutokana  na  mtandao wa www.tanzaniaclassic.com  kutembelewa  na watu  wengi ndani na  nje  ya Afrika  mashariki .

3.Shindano la  ADVERTISING  BUSINESS  COMPETETION   litasaidia  kutoa  hamasa  kwa wafanyabiashara  na  Wajasiriamali  kuwa  wabunifu na  wadadisi katika kuandaa   matangazo  yanayohusu  biashara  zao  ambayo yatasaidia  biashara  zao  kujulikana   na  kupata  masoko  Zaidi .

  Shindano  hili  litaanza tarehe   12-8-2017  Mpaka  tarehe  29-10-2017 

  Jinsi ya  kushiriki  shinadno  la  ADVERTISING BUSINESS COMPETITION.

   Wasiliana na  sisi kupitia   simu : +255655515906

                                                 Whatsapp: +255755515906

                                                 Email :tanzaniaclassic1@gmail.com     

   Fika  ofisini  kwetu:               Msasani,Macho   

                                                              Dar-Es-Salaam

  Kwa kufatilia shindano la  ADVERTING  BUSINESS COMPETITION   endelea kutembelea  mtandao wa  www.tanzaniaclassi.com

  Facebook;    Tanzaniaclassic  media

   Instagram: Tanzaniaclassic media       

  You tube:Tanzania classic  



Viewing all articles
Browse latest Browse all 5823