imeandikwa na Josephat K. Nyambeya kupitia ukurasa wake wa facebook

HUYU NDIO NYOKA MWENYE KASI ZAIDI NA MWENYE SUMU KALI ZAIDI DUNIANI
Leo nataka tufahamishane kuhusu nyoka huyu hatari kwa sisi waswahili tunamuita KOBOKO lakini kwa lugha ya Kingereza huitwa Black Mamba.
MAMBAS ni aina ya nyoka wakali wapatikanao ktk dunia ya leo. Ni nyoka wenye sumu kali na wenye kasi ktk mwendo na wana sifa ya kutaga mayai (oviparous).
Kuna aina mbili za mambas :
1. GREEN MAMBAS.
2. BLACK MAMBAS.
Green mamba wana sumu aina ya NEUROTOXIC na HAEMOTOXIC. Wanaishi miaka 12 hadi 14 (makadirio kulingana na takwimu za sayansi) wanataga mayai na kuanguliwa kwa siku 80 hadi 90.
BLACK MAMBA pia wanauwezo wa kupanda miti wakati wakitafuta chalula na wanaurefu kati ya sentimita 220 hadi 320. Ni kati ya nyoka wenye sumu kali wapatikanao Afrika. Wanataga mayai kati ya 12 na 18,na kuangua kati ya siku 80 hadi tisini.
Mambas ni nyoka wakali na wenye kung'ata zaidi ya mara moja kwa sababu meno yao hayang'ooki wakti wakigonga kitu. Meno yanayong'ooka kwa nyoka yanaitwa FRONT FANGED MOVABLE na yasiyong'ooka yanaitwa FRONT FANGED FIXED.
BLACK MAMBA.
Black mamba ni moja ya nyoka hatari sana katika dunia. Nyoka hawa hupatikana katika sehemu Mashariki na Kusini mwa Afrika. Black mamba anaweza kuishi katika aina mbalimbali za mazingira: savanna, mabwawa, misitu na maeneo ya miamba.
Makazi yoyote ambayo hutoa joto na unyevunyevu ni sehemu nzuri ya kuishi Black Mamba. Kutokana na uharibifu wa mazingira na kuongezeka kwa kilimo, makutano kati ya Black Mamba na binadamu yameongezeka zaidi.
1- Black mambas ni nyoka mwenye sifa ya urefu anaweza kufikia miguu 14 urefu na Kilo 1.58757 katika uzito.
2- Black mamba ana mwili mwembamba wenye kufunikwa na ngozi yenye magamba kama ilivyo kwa nyoka wa jamii nyingine, Pamoja na wao kujulikana kwa kiingereza kama Black mambas lakini wengi hawana rangi nyeusi katika ngozi na rangi ya mwili inategemea makazi yao na inaweza kuwa ya kijani, kijivu au njano.
3- Black mamba ni jina lake kwa sababu sehemu ya ndani ya vinywa vyao ni nyeusi kabisa. Black mamba huonyesha kinywa chake cheusi wakati anakabiliwa na hatari.
4- Nyoka huyu huanza kutanua shingo yake lakini sio kama afanyavyo COBRA na hutoa sauti kama ile ya tairi likiwa inatoka upepo na hii ni ishara nyingine kwamba kiumbe hutayari shambulio.
Ukiona ameonyesha moja ya hizo ishara unashauriwa usifanye chochote kwasababu kwa kasi aliyonayo hutaweza kumuwahi kifupi tulia mpaka hasira zishuke na ajiondokee, narudia usithubutu kujifanya unafurukuta matendo yako hayatawahi tendo lake.
5- Ingawa nyoka huyu amebeba sifa ya kuwa nyoka mjeuri na mkali sana, lakini na yeye hujaribu kutoroka kabla mashambulizi lakini hushambulia kwa ukatiri sana ikibidi. Kumbuka kwa mtulivu ukikutana nae.
6- Sasa upande wa sumu hapa ndipo patamu Black mamba ana aina mbili ya sumu zinazozalishwa katika mwili wake moja ni huitwa Neuro – hii huathiri mfumo wa neva na nyingine ni Cardio-toxin hii huathiri mfumo wa moyo na sumu hizi zinaweza huua binadamu chini ya dakika 20. Pia imethibitika kuwa matone mawili ya sumu yake inaweza kuua.
7-Black mamba anatumia sumu kuwinda aina mbalimbali za ndege na wanyama wadogo. Na hutumia kama kitoweo chake.
8- Black mamba anaishi katika mashimo ya miti na katika mashimo ya miamba. Pamoja na kiasi kikubwa cha sumu kali sana aliyonayo, lakini hana ujanja mbele ya Nguchiro na Mbweha, na Nyegere.
9- Black mamba hutembea haraka sana akiwa juu ya ardhi. Anaweza kusafiri umbali mrefu kwa kasi ya maili hadi 12 sawa na Kilomita 20 kwa saa. Hivyo usijaribu kukimbia atakufukuza mpaka akugonge sehemu ya mwili wako.
10- Jike hutaga mayai kati ya 10 na 25 katika kiota juu ya ardhi. Joto ni muhimu kwa ajili ya incubation ya mayai. Na mayai hujitotoa baada ya miezi 3. Na vijinyoka hivyo vichanga huanza kujihudumia kwa kila kitu na huwa na sumu ile ile kama ya nyoka mkongwe hivyo usije ukadharau.
11- Black mamba anaweza kuishi hadi miaka 11 katika pori na hadi miaka 12 katika kama atafugwa.
12. Nyoka huyu ana akili sana, anakula sana majani ya bangi, na mara nyingi hupenda kukaa kwenye mashamba ya bangi mida ya mchana, mara nyingi ana ng'ata kichwa na shingo tu, ana wika kama jogoo kwa hiyo jihadhari sana ukiwa porini na ukasikia mlio wa sauti kama ya jogoo. Hajawahi kutembeea kichwa chini yaani siku zote kichwa chake kipo juu kama kasimama vile. Ana kwepa sana mawe, ana ruka kama panzi.
13. Iwapo nyoka huyu atakung'ata utaweza kuishi hadi dakika 20 tu.
14. Akikomaa zaidi anakuwa na ukucha kwenye mkia. Pia akikomaa zaidi magamba yake huwa yanatoa sauti akikimbia kwa sauti inakuwa kama chupa inayovunjika.
14. Kwa Tanzania wanapatikana sana mikoa ya Singida, Tabora, Dodoma, Katavi na kule kwetu Mara pia wapo na mikoa ya kanda ya ziwa, na kanda ya kusini.
Ukikutana naye akiwa amesimama mbele yako usijaribu ujanja wowote hutaweza kumuwahi, labda umwombe Mungu akupe ujasiri wa kutulia tuli hadi ashushe kichwa chini ndio ujaribu ujanja mwingine otherwise WAFWA, akikuuma kichwani sijui utafunga wapi.
GREEN MAMBA.
Green mambas wqnapenda sana kuishi karibu na maji hasa mito! Mara nyingi sana hupendelea kukaa kwenye miti ya kijani kwa ajili ya mawindo sana sana hupenda kukamata ndege ! Nii vigumu sana kumwona kulingana na rangi yake!!! Usipokuwa makini anaweza hata kukunga 'ata kichwa/shingo ,na hukawii kufa!
Usisite kutembelea page yetu ya Teknolojia Kwanza kwa mafunzo na maandiko zaidi ya kufungua ufahamu.
Leo nataka tufahamishane kuhusu nyoka huyu hatari kwa sisi waswahili tunamuita KOBOKO lakini kwa lugha ya Kingereza huitwa Black Mamba.
MAMBAS ni aina ya nyoka wakali wapatikanao ktk dunia ya leo. Ni nyoka wenye sumu kali na wenye kasi ktk mwendo na wana sifa ya kutaga mayai (oviparous).
Kuna aina mbili za mambas :
1. GREEN MAMBAS.
2. BLACK MAMBAS.
Green mamba wana sumu aina ya NEUROTOXIC na HAEMOTOXIC. Wanaishi miaka 12 hadi 14 (makadirio kulingana na takwimu za sayansi) wanataga mayai na kuanguliwa kwa siku 80 hadi 90.
BLACK MAMBA pia wanauwezo wa kupanda miti wakati wakitafuta chalula na wanaurefu kati ya sentimita 220 hadi 320. Ni kati ya nyoka wenye sumu kali wapatikanao Afrika. Wanataga mayai kati ya 12 na 18,na kuangua kati ya siku 80 hadi tisini.
Mambas ni nyoka wakali na wenye kung'ata zaidi ya mara moja kwa sababu meno yao hayang'ooki wakti wakigonga kitu. Meno yanayong'ooka kwa nyoka yanaitwa FRONT FANGED MOVABLE na yasiyong'ooka yanaitwa FRONT FANGED FIXED.
BLACK MAMBA.
Black mamba ni moja ya nyoka hatari sana katika dunia. Nyoka hawa hupatikana katika sehemu Mashariki na Kusini mwa Afrika. Black mamba anaweza kuishi katika aina mbalimbali za mazingira: savanna, mabwawa, misitu na maeneo ya miamba.
Makazi yoyote ambayo hutoa joto na unyevunyevu ni sehemu nzuri ya kuishi Black Mamba. Kutokana na uharibifu wa mazingira na kuongezeka kwa kilimo, makutano kati ya Black Mamba na binadamu yameongezeka zaidi.
1- Black mambas ni nyoka mwenye sifa ya urefu anaweza kufikia miguu 14 urefu na Kilo 1.58757 katika uzito.
2- Black mamba ana mwili mwembamba wenye kufunikwa na ngozi yenye magamba kama ilivyo kwa nyoka wa jamii nyingine, Pamoja na wao kujulikana kwa kiingereza kama Black mambas lakini wengi hawana rangi nyeusi katika ngozi na rangi ya mwili inategemea makazi yao na inaweza kuwa ya kijani, kijivu au njano.
3- Black mamba ni jina lake kwa sababu sehemu ya ndani ya vinywa vyao ni nyeusi kabisa. Black mamba huonyesha kinywa chake cheusi wakati anakabiliwa na hatari.
4- Nyoka huyu huanza kutanua shingo yake lakini sio kama afanyavyo COBRA na hutoa sauti kama ile ya tairi likiwa inatoka upepo na hii ni ishara nyingine kwamba kiumbe hutayari shambulio.
Ukiona ameonyesha moja ya hizo ishara unashauriwa usifanye chochote kwasababu kwa kasi aliyonayo hutaweza kumuwahi kifupi tulia mpaka hasira zishuke na ajiondokee, narudia usithubutu kujifanya unafurukuta matendo yako hayatawahi tendo lake.
5- Ingawa nyoka huyu amebeba sifa ya kuwa nyoka mjeuri na mkali sana, lakini na yeye hujaribu kutoroka kabla mashambulizi lakini hushambulia kwa ukatiri sana ikibidi. Kumbuka kwa mtulivu ukikutana nae.
6- Sasa upande wa sumu hapa ndipo patamu Black mamba ana aina mbili ya sumu zinazozalishwa katika mwili wake moja ni huitwa Neuro – hii huathiri mfumo wa neva na nyingine ni Cardio-toxin hii huathiri mfumo wa moyo na sumu hizi zinaweza huua binadamu chini ya dakika 20. Pia imethibitika kuwa matone mawili ya sumu yake inaweza kuua.
7-Black mamba anatumia sumu kuwinda aina mbalimbali za ndege na wanyama wadogo. Na hutumia kama kitoweo chake.
8- Black mamba anaishi katika mashimo ya miti na katika mashimo ya miamba. Pamoja na kiasi kikubwa cha sumu kali sana aliyonayo, lakini hana ujanja mbele ya Nguchiro na Mbweha, na Nyegere.
9- Black mamba hutembea haraka sana akiwa juu ya ardhi. Anaweza kusafiri umbali mrefu kwa kasi ya maili hadi 12 sawa na Kilomita 20 kwa saa. Hivyo usijaribu kukimbia atakufukuza mpaka akugonge sehemu ya mwili wako.
10- Jike hutaga mayai kati ya 10 na 25 katika kiota juu ya ardhi. Joto ni muhimu kwa ajili ya incubation ya mayai. Na mayai hujitotoa baada ya miezi 3. Na vijinyoka hivyo vichanga huanza kujihudumia kwa kila kitu na huwa na sumu ile ile kama ya nyoka mkongwe hivyo usije ukadharau.
11- Black mamba anaweza kuishi hadi miaka 11 katika pori na hadi miaka 12 katika kama atafugwa.
12. Nyoka huyu ana akili sana, anakula sana majani ya bangi, na mara nyingi hupenda kukaa kwenye mashamba ya bangi mida ya mchana, mara nyingi ana ng'ata kichwa na shingo tu, ana wika kama jogoo kwa hiyo jihadhari sana ukiwa porini na ukasikia mlio wa sauti kama ya jogoo. Hajawahi kutembeea kichwa chini yaani siku zote kichwa chake kipo juu kama kasimama vile. Ana kwepa sana mawe, ana ruka kama panzi.
13. Iwapo nyoka huyu atakung'ata utaweza kuishi hadi dakika 20 tu.
14. Akikomaa zaidi anakuwa na ukucha kwenye mkia. Pia akikomaa zaidi magamba yake huwa yanatoa sauti akikimbia kwa sauti inakuwa kama chupa inayovunjika.
14. Kwa Tanzania wanapatikana sana mikoa ya Singida, Tabora, Dodoma, Katavi na kule kwetu Mara pia wapo na mikoa ya kanda ya ziwa, na kanda ya kusini.
Ukikutana naye akiwa amesimama mbele yako usijaribu ujanja wowote hutaweza kumuwahi, labda umwombe Mungu akupe ujasiri wa kutulia tuli hadi ashushe kichwa chini ndio ujaribu ujanja mwingine otherwise WAFWA, akikuuma kichwani sijui utafunga wapi.
GREEN MAMBA.
Green mambas wqnapenda sana kuishi karibu na maji hasa mito! Mara nyingi sana hupendelea kukaa kwenye miti ya kijani kwa ajili ya mawindo sana sana hupenda kukamata ndege ! Nii vigumu sana kumwona kulingana na rangi yake!!! Usipokuwa makini anaweza hata kukunga 'ata kichwa/shingo ,na hukawii kufa!
Usisite kutembelea page yetu ya Teknolojia Kwanza kwa mafunzo na maandiko zaidi ya kufungua ufahamu.
TANGAZO, #TANGAZO #TANGAZO
Mjasiriamali na mfanyabiashara jishindie sh 500,000 kwa kushiriki shindano la ADVERTISING BUSINESS COMPETITION KUTOKA MTANDAO HUU

Mtandao wa kijamii wa www.tanzaniaclassic.com {THE GIANT SOCIAL MEDIA IN EAST AFRIKA} unakuletea shindano la ADVERTISING BUSINESS COMPETITION .
ADVERTISING BUSINESS COMPETITION –Ni shindano ambalo linatoa fursa kwa wafanyabiashara au wajasiriamali kutengeneza Tangazo nzuri la biashara zao lenye ubunifu, Matangazo hayo yatawekwa kwenye mtandao wa www.tanzaniaclassic.com ili kusaidia wafanyabiashara na wajasiriamali kutangaza biashara zao kwa gharama nafuu sana, Pia matangazo hayo yatashindanishwa kutafuta tangazo bora lenye ubunifu ambapo mshindi wa kwanza atazawadiwa shilingi 500,000 na nafasi ya kutangaza biashara yake bure kwenye mtandao wa www.tanzaniaclassic.com kwa miezi sita.
Pia mtandao wa www.tanzaniaclassic.com utatoa ofa kwa mshindi ya kumsaidia kubrand biashara yake ili iweze kujulikana Zaidi na kupata soko ndani ya Afrika mashariki.
Mshidi atapata fursa ya kukutanishwa na wajasiriamali na wafanyabiashara waliofanikiwa zaidi ili aweze kupata uzoefu zaidi ...
Mshiriki wa ADVERTISING BUSINESS COMPETITON ambaye ni mfanyabiashara au mjasiramali anatakiwa kutengeneza tangazo lenye mvuto na ubunifu juu ya biashara anayofanya ili ajiweke kwenye nafasi nzuri ya kushinda..
Mshindi wa ADVERTISING BUSINESS COMPETITION Atachaguliwa na majaji wa www.tanzaniaclassic.com baada ya kupitia matangazo yote ambayo yatakuwa yameingia kwenye shindano hili, Vigezo vikuu mpaka mshindi apatikane itakuwa ubunifu wa tangazo husika, Ubunifu wa lugha katika tangazo husika , mwenekano mzuri wa tangazo nk.
Shindano la ADVERTISING BUSINESS COMPETITION ni shindano ambalo linahusisha hasa wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka Tanzania na Kenya ambapo mtandao wa www.Tanzaniaclassic.com una watembeleaji wengi zaidi,Pia wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka nchi zingine za ukanda Afrika mashariki ambao watependa kushiriki shindano hili wataruhusiwa kushriki..
MASHARTI NA VIGEZO VYA KUSHIRIKI ADVERTISING BUSINESS COMPETITION
1.Mshiriki anatakiwa awe na umri wa miaka 18 na kuendelea,,
2.Mshiriki wa ADVERTISING BUSINESS COMPETITION anatakiwa analipie tangazo lake kwanza kwa shilingi elfu 50,00 0 ndiyo litapata fursa kurushwa kwenye www.tanzaniaclassic.com pamoja kuingia kwenye shindano la ADVERTISING BUSINESS COMPETITION
2.Mshiriki anatakiwa atoe tangazo la biashara inayofanyika tayari na inaendelea kufanyika wakati
4.Mshiriki wa ADVERTISING S COMPETITION harusiwi kukopi tangazo la mshiriki mwingine ambayo yatakuwa yanarushwa na www.tanzaniaclassic.com wakati shindano likiendelea .
5.Wafanyakazi na ndugu ambao wanaohusiano na mtandao wa www.tanzaniaclassic.com hawataruhusiwa kushiriki shindano hili..
6.Mshiriki anaruhusiwa kuingiza matangazo yasiyozidi 3 kwenye shindano lakini lazima hayo matangazo yawe ni ya biashara tofauti ambazo zinafanyika na zinaendelea wakati huo.
FAIDA ZA KUSHIRIKI ADVERTISING BUSINESS COMPETITION
1.Shindano la ADVERTISING BUSINESS COMPETITION linatoa fursa wafanyabiashara na wajasiriamali kutangaza biashara zao kwa kipindi cha miezi 2 na nusu wakati wa shindano likiendelea.
2.Shindano la ADVERTISING BUSINESS COMPITETION litasaidia sana wafanyabiashara na wajasiriamali biashara zao kujulikana pamoja na biashara zao kupata soko kutokana na mtandao wa www.tanzaniaclassic.com kutembelewa na watu wengi ndani na nje ya Afrika mashariki .
3.Shindano la ADVERTISING BUSINESS COMPETETION litasaidia kutoa hamasa kwa wafanyabiashara na Wajasiriamali kuwa wabunifu na wadadisi katika kuandaa matangazo yanayohusu biashara zao ambayo yatasaidia biashara zao kujulikana na kupata masoko Zaidi .
Shindano hili litaanza tarehe 12-8-2017 Mpaka tarehe 29-10-2017
Jinsi ya kushiriki shinadno la ADVERTISING BUSINESS COMPETITION.
Wasiliana na sisi kupitia simu : +255655515906
Whatsapp: +255755515906
Email :tanzaniaclassic1@gmail.com
Fika ofisini kwetu: Msasani,Macho
Dar-Es-Salaam